Jumamosi, 3 Mei 2014

MTIHANI WA MBINU ZA KUJIFUNZABIBLIA



PHILADELPHIA SCHOOL OF MISSION.
CHUO CHA MAFUNZO YA HUDUMA-PHILADELPHIA.
PHISOM
http://www.wicketgate.co.uk/graphics/bible2.gif
Kuwaandaa watendakazi kwaajili ya mavuno ya nyakati za mwisho.

MUDA MASAA 2:30
 MTIHANI WA KUHITIMU KOZI ZA MUHULA WA KWANZA
MBINU ZA KUJIFUNZA BIBLIA.
NAMBA YA KOZI PTS 103.
Maelekezo
·         Mtihani huu una sehemu moja tu. jibu maswali  matatu tu.
·         Jibu maswali kama ulivyojifunza katika kozi hii na kwa umakini.
·         Usafi ni muhimu na utazingatiwa katika utoaji wa alama.
·         Kumbuka kuandika namba yako ya usajili  katika kila karatasi ya majibu.
·         Majibvu yote yaandikwe katika karatasi ya majibu iliyotolewa.
SEHEMU A: JIBU MASWALI MATATU TU. (Alama20@1 )
1Chora chati ya mgawo wa sehemu za Biblia agano la kale na agano jipya.
2.Taja nakala za zamani sana za Biblia zilizopo leo na taja 3 za nakala hizo.
3. Taja tafsiri za zamani za Biblia zilizopo sasa na taja faida tatu za  tafsili hizo.
4. Toa sababu tano kwa nini tunajifunza Biblia.
5.taja kanuni tatu za msingi za kufasili maandiko na hatua nne za kufasili maandiko matakatifu.
6.Taja kanuni   sita za jumla za kufasili maandiko matakatifu na kasha toa sababu  nne kwanini tunajifunza kufasili maandiko
Mtihani mwema.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni